Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live
↧

Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Wandugu kama mjuavyo wengi wetu tumesoma shule za st. Kayumba kwa hiyo Ngeli ni ishu kwetu. Basi kwa kuunga unga hivyo hivyo nikachaguliwa Chuo (UDSM) sasa kufika huko si ndo mambo ya Seminar za DS 101...

View Article


Mwanayumba...

MWANAYUMBA (Inspired by Chege’s song – Mwanayumba) Ilikuwa mwaka 2002 Desemba. Nilikuwa kidato cha Sita katika shule moja ya kutwa huko Moshi mkoani Kilimanjaro. Nakumbuka tulivyokutana...nakumbuka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Happy birthday to me

ICHANA and the rest

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fahamu: Siri iliyopo katika namba yako ya simu

View Article

Hii inawahusu wanawake wote

........Wanawake waache FUJO na ubinafsi , wanaume wametuita MABUZI kwa zaidi ya miaka 12 sasa wao kuitwa CHURA mwezi mmoja tu imekua nongwa. Wanataka kutufunga istoshe chura wameanzisha wao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa hili la mwendo kasi, imekuwa full burudani na karaha!!

Baada ya magari ya mwendo kasi kuanza safari zake jijini Dar es salaam, hivi sasa kumeibuka wimbi la picha mbalimbali katika mitandao ya kijamii zikionyesha vitu kama wanyama, watu, cartoon n.k katika...

View Article

Naomba kuwafahamu Ten (10) first members of JF

Out of curiosity, ningependa kuwafahamu membaz kumi wa mwanzo wa Jf. Hawa ni ma legends, though labda ma admins ni rafiki zao, but ningependa kujua the first time Jf was online, watu kumi wa mwanzo...

View Article

Nimeacha usister niolewe na mwanajamiii yoyote

Naja kwenu wanajamiimnipokeeee mimi mjakazi wenuchini ya miguu yenu mimi nalianiwekeeni mikono yenumnibariki

View Article


Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Wana Chit Chat!!! Huu uzi unawekwa hapa kwa malengo mazuri tu kama vile; 1.Kuepusha kuharibu nyuzi nyingine!! Inatokea mara nyingi sana hapa jukwaani, mistari inashushwa sehemu yoyote ile so kunakuwa...

View Article


Underground vs Wakongwe wa JF

Mambo vipi wanangu? Sio siri hapa JF kuna battle ya chini kwa chini kati ya wakongwe(member wa muda mrefu) dhidi ya Underground(member wasio na muda mrefu mfano hawana hata 1 yr hapa jukwaani),Wakongwe...

View Article

Uchepukaji wanitokea puani

Wakuu Wasalaam. Mimi Kirchhoff ni MUME wa Mwanamke Mpole sana na Mnyenyekevu mwenye asilimia 99% za kuwa MKE MWEMA. Nimetenda dhambi baada ya kupa mwili nafasi utawale roho. Nimelelewa katika maadili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tatizo nini?

View Article

Jamani leo nimekamatika na umbea umenishinda naombeni msaada!

Kule kote ambako huwa napata TAARIFA zangu NYETI na za NGUVU naona tokea niamke Mabeki wameziba njia zote nikimaanisha WAMENICHUNIA halafu na bahati mbaya sana kule ambako huwa nikipita tu naona UMBEA...

View Article


Nakereka sana na huu msemo ''Wanaume wa Dar''

Habari zenu wanajamvi, Mimi kuna msemo unanikera maana unageneralize "wanaume wa Dar". Alafu mbaya zaidi hadi wanaume wenzetu kutoka mikoani wanatusema. Kuna wengine ndo kwetu na wa mkoa wakija ndo...

View Article

Top 5 Forums za JamiiForums

Habari wana Jamii Forums....Leo ningependa kujua interest za wenzangu humu JF..Obviously JF kuna Forums mbalimbali kutokana na aspects mbalimbali za maisha na interests tofauti za watu...Naomba kila...

View Article


Unakumbuka nini

Nakumbuka kipindi najiunga kwenye Facebook na eskimi mara ya kwanza mwaka 2009, nilikua natongoza kila mwanamke na nilifanya sana sex chart enzi hizo. Vp wewe rafiki ilikuaje kipindi icho?

View Article

Nilipotea Nimerudi

Ni zaidi ya miaka miwili nilikuwa sijaingia humu... sasa nimerudi naona wajukuu wengi sana na ukubwa umesogea flan amazing.... HODI am back. Missed you sana hasa jukwaa hili

View Article


Wadada kumbe ndo zenu?

Unaalika dame date halafu kinakam na maringo,ety oooh!,"...babe hata Sitakula nikitoka home nilipitia CHICKEN POINT nikakula kuku..." We na ugentleman wako unambuyia whiskey ya 3k,,afta kuchapa sip...

View Article

Mwanza vs Arusha. Wapi pazuri??

Nataka nikaanze maisha mapya moja kati ya sehemu hzo mbili.Uzuri niusemao mazingira,kuendelea kiuchumi,afya nk

View Article

Taarab za zamani

View Article
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live