Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live
↧

Sayansi na sheria

Nataka kusoma sheria ili hal nilisoma sayansi nitaweza?

View Article


Mwanza JF users: Tuunde umoja/utambuzi wetu

Wakuu kabisa, Heshima mbele. Napenda kutoa hoja. Kwamba, kwa ongezeko la members wa JF jijini Mwanza (Rock City), ningependekeza uwepo mjumuiko wa kuipaisha na kuunda umoja wa JF hapa jijini yaani (JF...

View Article


#Shida yote hii inasababishwa na

Twende na trend.... Shida yote hii inasababishwa na uhaba wa sukari . Endelea.

View Article

Lara 1 ni mke mwema

Ukitaka kuoa, basi oa mwanamke mjuaji Kama Lara 1. Wanawake dizaini ya Lara 1 wanaogopeka sana na wanaume kwa kuwa wanaongea sana, ni wajuaji sana, lakini nakuhakikishia kabisa kuwa ukidaka mwanamke...

View Article

Nimekimbizwa na nyoka aina ya Koboko

Wakuu jana jioni nilipokua narejea home gafla nilikutana na nyoka Koboko kafura katikati ya njia uku kapanua kichwa kimekua kipana kama upawa. Ghafla akanitokea nduki anakimbia mbaya mbovu uwezi amini...

View Article


Shirima alikufa akiwa amelewa sana

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi? MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee....

View Article

Mama wa kichaga anaeongea kama dogo janja

Lafudhi ya Dogo janja inaongelewa na kila rika kule Arusha, huyu ni Mama wa Kichaga anaongea kama dogo Janja. Rafudhi Hii Inawavutia Wengi Sana Nchini Tanzania.

View Article

Wataalam wa hesabu swali hili

Nini matumizi ya mistali sambamba na sulubi katika maisha ya mwanadamu?

View Article


Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2008 mwezi Juni nilikuwa naenda kikazi Lusaka, Zambia basi sijui hili wala lile kwenye tiketi iliandikwa saa ya ndege kuondoka saa 12 asubuhi (ndege ndo inapaa) mimi nikajipa...

View Article


Quotes...

A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man.

View Article

Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi moja, siku moja na wewe

Huu uzi makhususi kwa wana Jamii forums membersÂ’ kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi. Mimi, August 15.

View Article

Cheka uongeze siku za kuishi

Jamaa alikuwa bonge aliona tangazo limeandikwa : "Punguza kilo 5 kwa wiki" Akawapigia simu na kuomba kujiunga, Binti:Sawa uwe tayari hapa ofisini kwetu kesho saa 12 za Asubuhi.. Siku ya pili akenda na...

View Article

Napenda Mke Wangu Atoke Zanzibar

>> Ni Sifa Zipi Nazotakiwa Kuwa Nazo Ili Nipate Mke Toka Zanzbar.... Sambamba na Hilo Hebu Nionjesheni Sifa Zao Kulingana na Sehemu au Jamii Watokayo, Japo Najua Chache. >> Pia, Naomba...

View Article


Leo nimekutana tena na classmate na jirani yetu nyumbani nilikozaliwa, ni...

Dah! Kuna dada ni jirani yetu home nilikozaliwa. Wazazi wake walifariki so alilelewa na bibi. Huyu dada nilisoma naye O level, alikuwaga wa kwanza class siku zote. Baadaye ikawa ikitokea mkakutana na...

View Article

Ni movie gani kali ambayo huwezi kuisahau?

Wapendwa kimtazamo ni movie gani ambayo ilikuvutia sana au ilikukugusa kwa namna moja hadi nyingine Mfano. Kuna bongo movie moja inaitwa vivia ukiangalia unaweza kulia Pia kuna Captain Philips bonge la...

View Article


Rebeca Gyumi unaninyima usingizi

Acha tu niseme jamani..huyu Dada kwa kweli moyo wangu unamsumbukia sana. Nimefaiti kukutana naye lakini mpaka sasa sijafanikiwa..Rebecca naomba ujue kuwa Mimi nakosa usingizi kwa ajili yako. Huko uliko...

View Article

Nilikuwa nasikia tu kwa wengine, leo yamenikuta

Kwanza nianze kwa kuwasalimu ndugu zangu,na kuwashukuru kwa namna tunavyoshauriana katika mambo mbali mbali yanayogusa maisha yetu ya kila siku. Kwanza naomba nisimulie kidogo historia fupi ya...

View Article


Maajabu ya Joto City !

Niaje wana ? Jiji la Dar es salaam ndio jiji la ukweli na lenye mbwembwe kwa hapa Tanzania .....Pamoja na sifa zote lakini lina vijimambo vyake bwana !!! 1/ Uchafu ndio mwake!! Dsm ndio jiji chafu...

View Article

helo

Mambo vipi ndugu zangu

View Article

Tunatongozwa bila vinywaji

Sasa hivi tunatongozwa bila vinywaji!;;;;;; akikuona atakuomba namba!;;;; akifik yumbani kwake anachukua cm anaanza kukutumia vi emoji vya cm; chupi na brazia; atakuuliza nije lini; mkikutana unaona...

View Article
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live