Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live
↧

Crazy Things You Did In Sec School

~ Got chased by the headteacher and deputy head, a whole crowd of us in school uniform where in one area our school had been forbidden to enter by the school otherwise could result in expulsion, only 2...

View Article


Underground vs Wakongwe wa JF

Mambo vipi wanangu? Sio siri hapa JF kuna battle ya chini kwa chini kati ya wakongwe(member wa muda mrefu) dhidi ya Underground(member wasio na muda mrefu mfano hawana hata 1 yr hapa jukwaani),Wakongwe...

View Article


Quotes...

A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man.

View Article

J umenipagawisha kwa penzi lako (Nampenda sana huyu senior expert member,...

Wanajamvi kama heading inavojieleza, Katika vitu huwa nakosa tafsiri sawia, ni suala zima la mapenzi yaani kuanguka penzini. Kweli usipofikiwa na hali ya kupenda au kumpenda mtu inakuwa hivi; Mtu...

View Article

Nipeni ustar wa JF

What's up watu wangu wa nguvu? Sio siri kuna member hapa JF washakuwa mastaa yaani wanapendwa au kufuatiliwa thread au comment zao na watu wengi sana hapa jukwaani lakini je wananufaika vipi na ustar...

View Article


Maajabu ya Joto City !

Niaje wana ? Jiji la Dar es salaam ndio jiji la ukweli na lenye mbwembwe kwa hapa Tanzania .....Pamoja na sifa zote lakini lina vijimambo vyake bwana !!! 1/ Uchafu ndio mwake!! Dsm ndio jiji chafu...

View Article

Marais wapungua mtaan

Hali ya kuwa na marais wa mitaa mara sjui rais wa kijiji gan mara wa kona street now days wamepngua kama sio kuisha kabisa tangu mh Magu aingie madaraka. Shkamoo mjomba magu.

View Article

Naombeni majibu

Inakuwaje mtu anatembelea gari ina Chassis Number kwa muda wa miaka miwili?

View Article


DUBAI mbona pa kawaida mno? Shobo ya nini?

Wadau! kiukweli nilikuwa nasikia sifa za Dubai nikawa natamani kwenda kwa miaka kadhaa nimekuwa nikijpanga /kuweka pesa ya nauli mwezi Februari nikaona ofa ya FLYDUBAI 50% OFF nikakata tiketi ya kwenda...

View Article


Samahani anayejua teknik mpya ya kuwapa rushwa Matrafiki Dar anisaidie!

Tokea asubuhi napiga tu Simu kwa Washikaji zangu waliopo huko barabarani ili wanipe mpango mzima wa Idadi ya Matrafiki katika njia ambazo nataka nipite nipeleke MKANGAFU wangu ( gari mbovu ) gereji ila...

View Article

Wanawake wa Nairobi noma sana

Kenyan women have a funny way of asking if you are in a relationship...."Unataka Manzi Yako Animwagie maji moto"...Tumewajua sana..

View Article

Nashukuru nimepanda cheo

Salaam, Leo ndani ya JF nimepanda cheo kutoka senior member kuwa jf-expert member [emoji2] [emoji2]

View Article

Leo nayatoa ya moyoni

Hii inakuhusu wewe member wa jf... Kwanza naomba ukome kua unanitaja kwamba mimi ni mchumba wako aiseeee, na tambua kwamba nimechoshwa na hii hali ya kua ukinitaja kila kukicha na hauishi kunitangaza...

View Article


Usitake ncheke za Instagram...

Kwako ewe mwenye msongo wa mawazo na wengineo Ushauri nasaha unahitajika kwa awa Binadamu...

View Article

Karibuni kuchangia

nina swali nataka wataalamu wa mambo watililike hapa.. ni hivi nimefanya kauchunguzi nikagundua wanaume wengi wana mikono milaini sana kama wanawake yani mkishikana mikono unafeel umeshikwa na mbebezi...

View Article


Huyu nae ni mpenzi hewa

Nilikutana nae facebook sijawahi kumuona hata kwa sura ila tunawasilana watsap na tunapigiana simu wote tupo dar ila kila nikimuomba tuonane ananichenga tatizo kila mara ananiomba pesa tena ana kiwango...

View Article

Yupi zaidi kwa kupiga kibuti kati ya mwanamke na mwanaume?

Hi guys, Nimeona nilete swali hili kwenu wanajamvi. Hivi kati ya wanawake na wanaume ni kina nani wanaongoza kila kukicha kuwaacha wenzi wao? Nimekuwa naona malalamiko mengi hapa ya wanaume kuachwa ila...

View Article


TOP 10 makapuku tishio JF

Nawatakia jumapili yenye baraka Sio kila siku kuja na list ya wakongwe wkt kuna list nyingi tu....wafuatao ni list ya members wanaokimbiza kimya kimya na wanaokuja kwa kasi hapa JF yaani...

View Article

Happy birthday to me happy birth day to me

Wakuu, Leo ni birthday yangu Mungu kanijalia nimefikisha miaka 22. Happy birthday to me happy birthday to me happy birthday dear K 4 LIFE happy birthday to me. MAKE A WISH K 4 LIFE

View Article

Tangazo la blue band full raha

Nipo naangalia BBC Swahili, Dira ya Dunia, kipindi ambacho nakipenda sana. Hawa Blue Band nadhani wana mkataba wa tangazo lao na Star Tv, napenda yule mama anavyokiendesha kile kibaiskeli cha bintiye...

View Article
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live