J umenipagawisha kwa penzi lako (Nampenda sana huyu senior expert member,...
Wanajamvi kama heading inavojieleza, Katika vitu huwa nakosa tafsiri sawia, ni suala zima la mapenzi yaani kuanguka penzini. Kweli usipofikiwa na hali ya kupenda au kumpenda mtu inakuwa hivi; Mtu...
View ArticleMakapuku Forum
Habari wana JF Habari Makapuku wenzangu Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu...
View ArticleKwa aliyeko Liverpool-UK naomba tutafutane
Hey guys! Natumai mko poa. Naomba kwa aliyeko mitaa ya Liverpool, tujulishane. Ni PM. Thanks.
View ArticleUmri wangu sio kigezo cha kuto nitunuku utamu
Nimeanza kufuatilia utamu huu tangu na tangu lakini hadi leo bilabila, kisngizio ni kwamba mie mtoto nitafute waoto wenzangu! Hawa wamama wanasahau kwamba kile sio kiatu kwamba wakitutunuku labda...
View ArticleTotoz za supermarket
Long time wakati biashara ya supermarket inaibukia ndani ya jiji la DAR nakumbuka eneo hilo ilikuwa moja ya uwanja wa mawindo.ukienda kununua stuffs wadada wazuri wanakuja kukusaidi kuchagua vitu na...
View ArticleMwenye dada tuongee inbox
Wakuu, Hii njia sio ya kawaida lakini najua ni effective. Mara nyingi wanaume tunakuwa na taarifa sahihi kuhusiana na tabia za wanawake, hasa ni wanawake wa aina gani wanafaa kuolewa, tena mbaya zaidi...
View ArticleKwanini wanaume wengi siku hizi hupenda sana kubeba mafuta ya mgando mifukoni?
Hii Tabia Ilianza Kidogo Sana Ila Kadri Siku Zinavyoenda Sasa Imeota MIZIZI Huku Ikileta Sintofahamu Katika Jamii. Imegundulika Ya Kwamba Wanaume Wengi Sana Siku Hizi Wameanzisha Tabia Ya Kutembea Kama...
View ArticleJF kama Group la WhatsApp
Bitoz; Niwachane,nisiwachane ? Underground wote; Wachaneeee... Bitoz; Niwalipue,nisiwalipue ? Makapuku wote; Walipueee Bitoz; Niwachambe,nisiwachambe? Makapuku & underground:wachambeee Invisible...
View ArticleHuduma Ya Kwanza; Kitu Unachotakiwa Kufanya Pale Unapokutana/Unapohisi...
Sabakher Wadau; Baada Ya Kukutana Sana Hv Viumbe {Approximately 50} Nimeona Leo Nitoe Huduma Ya Kwanza Pale Unapokutana Au Kuisi Umekutana Na Jini! My Brothers And Sisters There Is No Any Formula/First...
View ArticleViroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)
Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2008 mwezi Juni nilikuwa naenda kikazi Lusaka, Zambia basi sijui hili wala lile kwenye tiketi iliandikwa saa ya ndege kuondoka mimi nikajipa kama dakika 20 hivi ndo niwe Airport...
View ArticleSiri kuhusu Massage salloon zinazoongoza kwa ufuska Bongo yafichuka!
Glenn Beck Final Massage Parlour update for DAR So this marks the end of my mongering for me, which strictly consisted of HJs and BBBJs at MPs. I'm broke and got to break this bad habit. I've seen the...
View ArticleNi movie gani kali ambayo huwezi kuisahau?
Wapendwa kimtazamo ni movie gani ambayo ilikuvutia sana au ilikukugusa kwa namna moja hadi nyingine Mfano. Kuna bongo movie moja inaitwa vivia ukiangalia unaweza kulia Pia kuna Captain Philips bonge la...
View ArticleNini story au kisa nyuma ya username yako na avatar yako hapa JF
Kuna siri kubwa sana chini ya majina tunayotumia humu JF pamoja na avatar zetu (wale wanaotumia picha zisio zao). Kwanini uliamua kujiita A na sio B?! Kwanini a jina feki na sio jina harisi?! Nadhani...
View ArticleLove and compassion
The prophet’s mercy to animals, Even the bird found a place in his heart The prophet’s heart would be shaken to its very foundations if he saw a distressed bird that lost its babies. A wounded animal,...
View ArticleHappy Birthday Jimena !
Hello everyone ! Leo April 08 ni siku muhimu kwa rafiki yangu kipenzi hapa Jf aitwaye Jimena , Naomba tujumuike pamoja kumtakia heri ya kuzaliwa dada yetu huyu...... Napendelea sana ule msemo wake wa...
View ArticleTabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar
Inakuwaje wanaume wa Dar tunatembe kimdebwedo kiasi hichi? Biblia yangu inasema tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, siamini hata kidogo Mungu anatembea kivivu namna hii (walking aimlessly) wengine hujui kama...
View ArticleManesi huwa wanatega watu
hv kwa nn manes wengi huwa na maumbo tata kabisa au ni zile nguo zao? nipo kcmc apa yaani kila nes anayepita aniniweka kwenye wakati mgumu sana Wana maumbo ya kichokozi sana hivi hii inakuwaje wadau...
View ArticleWanaume wa mikoani jiheshimuni,,, ACHENI kabisa masihara na wanaume wa Dar
Hii tabia ya majungu sijui kwanini inakua kwa kasi humu ndani.. Haiwezekan nyie wa mkoa muendelee kutushikia bango kila siku.. ACHENI ushamba za kiniwapi hizo mnaleta yaani hamuogopi kutuaibisha...
View ArticleHatimaye naenda nchi za nje, nimechoka kurushwa roho
Of koz asilimia kubwa ya watanzania hawajawahi kutoka nje ya nchi hii....Tukiachilia mbali wale wa mikoani ambao hata kukanyaga mjini (dar) hawajawahi kwa hasira wakaamua kutusema wanaume wa dar.......
View ArticleMember wa JamiiForums unayemkubali zaidi
Japo hatuonani kwa sura na wengi wetu wanatumia username feki lakini JamiiForums inatukutanisha kimawazo. Ni forum ambayo haikosi kitu utakasirika,utacheka,utafurahi n.k Lakini wapo members fulani...
View Article