Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live
↧

LAP TOP GANI NI NZURI KULIKO ZOTE

Naombeni ushauri juu ya hii kitu coz nataka kununua LAP TOP ila cjajua ni zipi nzuri kuliko na yenye sauti zaidi bila kuweka spika za nje

View Article


Combination za wapenzi

Jumapili njema Nazungumzia aina za wapenzi,maana katika maisha tunatodautiana kwa mambo mengi...twende sasa 1/Sugar mummy & Mario Penzi la aina hii ni kati ya mwanamke wa makamo na mvulana/mwanaume...

View Article


Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Wana Chit Chat!!! Huu uzi unawekwa hapa kwa malengo mazuri tu kama vile; 1.Kuepusha kuharibu nyuzi nyingine!! Inatokea mara nyingi sana hapa jukwaani, mistari inashushwa sehemu yoyote ile so kunakuwa...

View Article

Natafuta mdada umri kuanzia 20-35

Habari kama wewe ni mdada umri 20-35 ingia PM tuyajenge. Niko serious sana nahitaji furaha.

View Article

Siri ya kuchepuka si mchezo

Juzi kati nilichepuka na bidada mmoja mwenye mkia wa maana hipsi safi ila sijaona utamu niliokuwa naudhania anao nikapiga mizigo yangu miwili kwa kutumia rough.... Leo ananiambia ulitumia ile kondo......

View Article


Nimecheza dili nyingi lakini hili lilikuwa Kali zaidi

Sisi madereva tax bwana tunacheza dili mbalimbali nyingi sana zote za hatari ila zingine huwa za hatari zaidi.Nakumba ilikuwa majira ya saa mbili usiku nikiwa nimepaki zangu nasubiri mteja mara ghafla...

View Article

Huyu ndie Kitwanga

Mbunge aliyeombewa kura na Mh. na kaachishwa kazi na Mh. Cheo cha undugu ndo madhara yake haya. View attachment 349670 ​

View Article

Kuwa makini na aina hii ya Utapeli

Juzi juzi nilikua napitia pitia ajira online nikakutana na hii moja toka website ya Zoom Tanzania. Kampuni inaitwa DELIP ni NGO japo nlipojaribu kuifanyia utafiti sikuweza pata chochote online nikawa...

View Article


Avatar inayokufurahisha zaidi..

Wakuu wangu nawasalimia, Ni avatar ipi ya mwana JF inakufurahisha zaidi?Aidha unacheka,unatabasamu,unaipenda au inakufanya umtafakari huyu mwenye hiyo avatar?Mimi kuna avatar huwa nikiziangalia huwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hebu tukumbushane makundi ya muziki yaliyotanba

Habari wakuu,leo naona tukumbushane makundi ambayo yalikuwa yanajihusisha na biashara ya mziki kuanzia hapa bongo,Africa na kote ulimwengu

View Article

Wanawake wa Dar wanaongoza kwa kuvaa mawigi na vitambi

Kwa anaeishi Dar atakubaliana nami, hebu hapo ulipo kama upo Dar geuka kushoto,kulia,nyuma, mbele, nipe hesabu ya wanawake waliovaa mawigi na wenye vitambi, Source mimi mwenyewe niko manzese

View Article

Najuta kuolewa!

Yaani ni tabu ukichelewa kurudi kidogo tu lawama kibao. ukisema utembelee shost zako huruhusiwi na maneno kibao. kibaya zaid mume huyu ni bingwa wa kununa kitu kidogo atanuna siku saba! Loh ! Bora...

View Article

Nimekimbizwa na nyoka aina ya Koboko

Wakuu jana jioni nilipokua narejea home gafla nilikutana na nyoka Koboko kafura katikati ya njia uku kapanua kichwa kimekua kipana kama upawa. Ghafla akanitokea nduki anakimbia mbaya mbovu uwezi amini...

View Article


George Mpoji na Amanda!!

Wana chit chat mambo? Je unawakumbuka hao watu walikuwa maarufu sana kwenye matangazo ya Vodacom miaka ile!! Hivi hawa watu kweli wapo coz sijawahi wasikia wala kuwaona kwenye matangazo yoyote!! je...

View Article

Rebeca Gyumi unaninyima usingizi

Acha tu niseme jamani..huyu Dada kwa kweli moyo wangu unamsumbukia sana. Nimefaiti kukutana naye lakini mpaka sasa sijafanikiwa..Rebecca naomba ujue kuwa Mimi nakosa usingizi kwa ajili yako. Huko uliko...

View Article


Shairi kusindikiza utenguzi wa Kitwanga kutokana na ulevi

Mh. Kitwanga amekuwa habari kubwa tangu uncle Magu atengue uteuzi wake!, kishindo cha utenguzi huo kimepelekea tasnia ya sanaa kutoa wimbo maalumu kusindikiza habari hii ambayo tunategemea kuisahau...

View Article

Nachukia na sitaki kuona!

Hamjambo WanaJF! Jamani mi nina tatzo na cjui ilikuwaje nikawa hivi! Mi mwenzenu tangu siku ya kwanza nilipoona umbile tupu la hawa wenzetu wa kike wakiwa utupu... Namaanisha nikiiona face 2 face ile...

View Article


Wadada kumbe ndo zenu?

Unaalika dame date halafu kinakam na maringo,ety oooh!,"...babe hata Sitakula nikitoka home nilipitia CHICKEN POINT nikakula kuku..." We na ugentleman wako unambuyia whiskey ya 3k,,afta kuchapa sip...

View Article

Sasa nakunywa chai kwa biskuti!

Jamani nyie haya mambo ya kijamii ni magumu acha. Hapa jirani na kwangu kuna dada mmoja anapika vitafunwa na chapati zake ni tamuuu, yani nikizila wala hata sijilazimishi na ninazipiga mpaka nashiba...

View Article

Ni movie gani kali ambayo huwezi kuisahau?

Wapendwa kimtazamo ni movie gani ambayo ilikuvutia sana au ilikukugusa kwa namna moja hadi nyingine Mfano. Kuna bongo movie moja inaitwa vivia ukiangalia unaweza kulia Pia kuna Captain Philips bonge la...

View Article
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live