Tuache utani Kinondoni Dar es Salaam kuna wanawake wazuri
Wakuu habari ya wikendi, Tuache utani kwa mkoa wa Dar es Salaam wilaya ya Kinondoni inaongoza kuwa na wanawake wazuri na classic kuliko wilaya ya ilala na Temeke. Kwa bahati nzuri nimebahatika kukaa...
View ArticleKwa wale wa Arusha tuonane hapa Picnic tucheki UEFA
Leo kuna fainali ya UEFA EUROP nipo hapa jijini Arusha kwa mapumziko mafupi kesho narudi jiji la madereva... Kama kuna mkuu yoyote yupo hapa mjini kati maeneo ya Picnic aje tuchek wote gem ya Liverpool...
View ArticleCombination za wapenzi
Jumapili njema Nazungumzia aina za wapenzi,maana katika maisha tunatodautiana kwa mambo mengi...twende sasa 1/Sugar mummy & Mario Penzi la aina hii ni kati ya mwanamke wa makamo na mvulana/mwanaume...
View ArticleKama ungepata nafasi ya kuzaliwa mara ya pili ila uwe mnyama! ungechagua kuwa...
Mimi ningechagua kuzaliwa Simba! Wewe je! Ungezaliwa mnyama gani? Au ndege gani? Na kwa nini?
View ArticleUshauri,nimtumie Mshana Jr au MziziMkavu?
Habari za humu,kuna kitu kidogo naomba msaada wenu...! Kama mnavyojua kwenye baraza la mawaziri mpaka sasa kuna upungufu wa kichwa kimoja (Kitwanga hayupo) na ninadhani mkuu atakuwa anaumiza kichwa...
View ArticleGalaxy Special: Kwa waliowahi kusoma/kufundisha Galanos High School.
Wazee Wa nguvu Mali mpooooo? Mimi ni miongoni mwa watanzania waliowah kupata bahati ya kusoma kwenye hyo shule. Nasema bahati kwasababu ya upekee wake katika taaluma , mandhari madarasa n.k Tuliowahi...
View ArticleUtambulisho wa Mahusiano kwa member wote wa JamiiForums
Habari za wakati huu wapendwa wa Jamii Forums ningependa tutambulishane tuko katika mahusiano gani na tuna watoto wangapi ili kuondoa utata kwa wale wanaovamiana PM na kukurupukia wake au waume za watu...
View ArticleNapenda Mke Wangu Atoke Zanzibar
>> Ni Sifa Zipi Nazotakiwa Kuwa Nazo Ili Nipate Mke Toka Zanzbar.... Sambamba na Hilo Hebu Nionjesheni Sifa Zao Kulingana na Sehemu au Jamii Watokayo, Japo Najua Chache. >> Pia, Naomba...
View ArticleHakuna tuhuma za ubakaji Jiji la Tanga
Habari wanajamii, Nime miss sana hili jukwa tangia nifumaniwe na mke wangu humu nimeishia kuchungulia tu na kusepa, Japo nimejitahidi kubadili jina nimeshindwa. Leo nimeona niweeleze juu ya mkoa wetu...
View ArticleUnderground vs Wakongwe wa JF
Mambo vipi wanangu? Sio siri hapa JF kuna battle ya chini kwa chini kati ya wakongwe(member wa muda mrefu) dhidi ya Underground(member wasio na muda mrefu mfano hawana hata 1 yr hapa jukwaani),Wakongwe...
View ArticleBomu la Nuclear omba lisikupate
Kwema wana Jukwaa? Baada ya salamu nirejee kwenye ada yangu ambayo kichwa chake cha habari bado hajijajitosheleza kuelewa naongelea nini. Siku moja nilienda kumtembelea dada yangu anaenifuatia kwa...
View ArticleHuyu ndie Kitwanga
Mbunge aliyeombewa kura na Mh. na kaachishwa kazi na Mh. Cheo cha undugu ndo madhara yake haya. View attachment 349670
View ArticleKwann hospital nying hazinaga bima ya miwani
.Maranyingi unapokwenda hospital kwa wale watumiaji wa bima(HEALTH INSURANCE ),process zote zitakuwa under cover by health insurance but inapofikia kwenye suala la miwani hapo ndio kasheshe....
View ArticleNatafuta mdada umri kuanzia 20-35
Habari kama wewe ni mdada umri 20-35 ingia PM tuyajenge. Niko serious sana nahitaji furaha.
View ArticleNilipotea Nimerudi
Ni zaidi ya miaka miwili nilikuwa sijaingia humu... sasa nimerudi naona wajukuu wengi sana na ukubwa umesogea flan amazing.... HODI am back. Missed you sana hasa jukwaa hili
View Article#Shida yote hii inasababishwa na
Twende na trend.... Shida yote hii inasababishwa na uhaba wa sukari . Endelea.
View ArticleHebu tukumbushane makundi ya muziki yaliyotanba
Habari wakuu,leo naona tukumbushane makundi ambayo yalikuwa yanajihusisha na biashara ya mziki kuanzia hapa bongo,Africa na kote ulimwengu
View ArticleTujuane wana JF wa Mwanza
Habari za muda wana jamvi, leo nataka tufahamiane wana JF tunaotokea hapa Mwanza, unaeza uka comment mahali ulipo, lengo ni kufahamiana jamani, karibuniiii
View ArticleTanzania watoto wa zama zile ndio wakubwa wa zama hizi
Wakati tukiwa wadogo tuliaminishwa ukiona gari nyekundu au msalaba mwekundu hao ni mumiani wananyonya watu damu,nakumbuka mara tukaletewa habari kuna mwanamke anaitwa msekwa ana titi moja,uzushi ukawa...
View ArticleNachukia na sitaki kuona!
Hamjambo WanaJF! Jamani mi nina tatzo na cjui ilikuwaje nikawa hivi! Mi mwenzenu tangu siku ya kwanza nilipoona umbile tupu la hawa wenzetu wa kike wakiwa utupu... Namaanisha nikiiona face 2 face ile...
View Article