Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live
↧

Ushauri haraka iwezekanavyo

Kudos hi!! Kuna mresh ameleta mtoi kwetu akisema ni wangu. Na huyo mresh nilikuwa nimedo naye round Mwenda, but hata nahesabu months since nifunue booty ya mistubishi hata moon Sita haijakaa imefika....

View Article


Quotes...

A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man.

View Article


Nimeumbwa niwe single?

Nishory ndefu in short Wakuu heshima kwenu Nina umri wa miaka 23 kwa kweli kuna mambo yananichanganya sana mpaka najiona sina bahati ya binti wa kujenga nae maisha,nilikuwa na mchumba ambae nilimpenda...

View Article

Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2008 mwezi Juni nilikuwa naenda kikazi Lusaka, Zambia basi sijui hili wala lile kwenye tiketi iliandikwa saa ya ndege kuondoka saa 12 asubuhi (ndege ndo inapaa) mimi nikajipa...

View Article

Wanawake wa Dar wanaongoza kwa kuvaa mawigi na vitambi

Kwa anaeishi Dar atakubaliana nami, hebu hapo ulipo kama upo Dar geuka kushoto,kulia,nyuma, mbele, nipe hesabu ya wanawake waliovaa mawigi na wenye vitambi, Source mimi mwenyewe niko manzese

View Article


Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Wana Chit Chat!!! Huu uzi unawekwa hapa kwa malengo mazuri tu kama vile; 1.Kuepusha kuharibu nyuzi nyingine!! Inatokea mara nyingi sana hapa jukwaani, mistari inashushwa sehemu yoyote ile so kunakuwa...

View Article

Ni kuku au chakula cha kuku?

Unaalika binti date alafu anakuja na maringio, eti oooohh sor!!!! Babe sitakula nikitoka home nilipitia TILAPIA HOTEL nikala kuku.. Wewe na ungentlemen wako unamnunulia whisky ya Jack Daniels ya sh....

View Article

Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi moja, siku moja na wewe

Huu uzi makhususi kwa wana Jamii forums membersÂ’ kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi. Mimi, August 15.

View Article


Mambo ya Dom hayo!!

1.Chang'ombe 2.Chamwino 3.Chadulu 4.Chinangali 5.Chinyoya 6... 7... Ongezea kama umewahi kuishi Dom

View Article


PM za wadada wengi wa MMU zimejaa meseji za mitongozo

Wanajamvi mambo zenu. Nimegundua jukwaa hili limejaa wanaume wasio na mtazamo wowote zaidi ya ngono. wanaume wapo kwaajili ya kuvia mademu Ukifuatilia PM za wadada wanachangia humu utaona jinsi...

View Article

Guest/hotel salama kwa wezi wa wake/waume za watu Dsm

Je wewe una mpenzi wako ambaye ni mke au mume wa mtu hapa Dar es Salaam na unatafuta Guest/Hotel itakayokuwa salama kwa ajili ya kupumzika na mwenzio? Hapa nitataja kuanzia Hotel za bei ya juu kidogo...

View Article

Ni movie gani kali ambayo huwezi kuisahau?

Wapendwa kimtazamo ni movie gani ambayo ilikuvutia sana au ilikukugusa kwa namna moja hadi nyingine Mfano. Kuna bongo movie moja inaitwa vivia ukiangalia unaweza kulia Pia kuna Captain Philips bonge la...

View Article

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Nimekuwa humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana 'Mkuu' limekuja tu. Sijui kwanini wakuu?

View Article


Acoustic Guitar... "Amezaliwa Mkombozi"...

Ni rough cut ya wimbo ambao nilikuwa nao mawazoni kwa karibu miaka mitatu sasa. So I decided to pick up my guitar na kurelax kidogo kwa kucheza muziki huu.. hope waimbaji wazuri wanaweza kuufanyia kazi...

View Article

Mtanzania yeyote aliyepo Bern Switzerland naomba anicheki PM. Nimefika hapa leo

Habari wakuu, Naomba aliyepo anicheki angalau nipate mtanzania wa kuongea naye. Asanteni.

View Article


Bado Kupita TAZARA FLY OVER

Nilitamani niingie uwanja wa Taifa Nilitamani Nipite Daraja la Nyerere Nilitamani Nipande mabasi ya Kasi Sasa naomba nipite fly over TAZARA wewe je?

View Article

Nimetukanwa tusi jipya leo, sijaelewa maana yake

Nimetukanwa Kinyambe chako weee. Mimi nilikuwa najua Kinyambe ni jina la mtu, kumbe ni tusi jamani....... Daslamu matusi mengi jamani.... Wageni mwakaribishwa msijifunze mambo ya mji huu. Ushoga, wizi,...

View Article


Naweza kuwa nina mimba?

Hbr za Leo wadau! Nakia kichefuchefu, kizunguzungu, hasira, na udhaifu wa mwili. Kwa dalili hizo ninaweza kuwa nimeshika mimba? Simpendi mume wangu hata akinipigia simu nasikia hasira sipokei simu yake...

View Article

Huu mchezo hauitaji hasira...

Dah,ishakuwa nongwa sasa kila kona kila Mahala utasikia huu mchezo hauitaji hasira,yaani kama kuna mtu anapofolewa vileee,Ila mi sina uhakika...... lakini nataka kujua huooo mchezo usihoitaji hasira Ni...

View Article

3rd Anniversary ya Blogu ya Wananchi, Nchi ilisimama kwa masaa kadhaa

jana nchi ilisimama kwa masaa kadhaa baada ya muwekezaji mkubwa kwenye suala la mitandao ya kijamii kutimiza miaka mitatu ya uwekezaji baada ya kutoka ulaya na Marekani na utajiri wa kutisha uliofikia...

View Article
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live