Nani mwenye neno fasaha la kiingereza kuhusu hili neno letu "wafanya kazi hewa"?
Nataka kujua maaana ya hili neno kwa lugha ya kimombo waungwana"WAFANYA KAZI HEWA"
View ArticleNi movie gani kali ambayo huwezi kuisahau?
Wapendwa kimtazamo ni movie gani ambayo ilikuvutia sana au ilikukugusa kwa namna moja hadi nyingine Mfano. Kuna bongo movie moja inaitwa vivia ukiangalia unaweza kulia Pia kuna Captain Philips bonge la...
View Article20 most Influential JF members 2016
20 Most influential Jf members Wakuu leo nimeona nitoe list ya watu wenye ushawishi , kuna muda unaweza ukawa huna cha kuandika au kukoment humu ila unaweza kupitia habari mbalimbali ambazo nyingi...
View ArticleJF members waliofanikisha walichotaka 2016.!
wana jf inakuwaje? leo nina kautafiti kutoka kwenye ubongo wangu kwahyo source ni ubongo wangu(kwa wale mnaotaka source leo mtaambulia tomato source mkalie pweza na najua wananchi wengi wanaotakaga...
View ArticleNiliwahi kudhani kuna nguo maalamu ya kusafiria au kuvaa Dar
Wakuu kwa kweli ushamba ni mzigo wakati tunakua kua yani tuwadogo niliwah kuwaza kuwa kuna nguo maaluma za kuvaa ukiwa dar kuna nguo lazima uzivae yani nzuri au lazima uwe na nguo special za kusafiria,...
View ArticleNimeamini watu wa Mbeya, Iringa na Ruvuma ni waoga kuhusu mlima Kitonga
Wakuu salam zenu.. Mmekuwa waoga sana kwa kuongelea mlima wa kitonga ni hatari zaidi kutokana na kuwa na kona nyingi juzi nilipopita pale kweli nimeamini watu wanaishi mikoa hii ya mbeya, iringa,...
View ArticleSisi wazee wa JF tuna kundi letu
Sisi wazee wa MM na JF kwa ujumla group letu limepungukiwa na wadada baada ya wadada baadhi kuwa masomoni,makazini nje ya nchi na company yetu kwa sasa imepwaya hivyo tunatoa tangazo tunahitaji wadada...
View ArticleKuolewa raha!
Jamani kumbe kuolewa ni raha hivi, Ukiwa jikoni mume huyu hapa, Ukienda chumbani utasikii vipi sweetie, Mkiwa na kamtoko utafunguliwa mlango wa gari wewe ni kuingia na kukaa kisha mlango wa fungwa,...
View ArticleBujibuji na Mshana Jr, wanamtongoza mpenzi wangu Kichawi
Habari zenu wakuu, Nimeingiwa na wasiwasi sana, nina mpenzi wangu nampenda sana, lakini hivi karibuni ameanza kubadilika. Kila muda nikionana naye ananipa stori za mshana jr na Bujibuji, anadai...
View ArticleWatoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu unaweza kuchapwa kwa sababu...
Watoto wa siku hizi hawajui kabisa enzi zetu unaweza kuchapwa kwa sababu zifuatazo: 1. Unalia sababu umechapwa, utachapwa tena 2. Umechapwa ukulia utachapwa tena 3. Ukijililia tu bila kupigwa,...
View ArticleMaisha ni maandishi
MAISHA NI MWANDISHI, SIO KALAMU Zamani wakati tupo shule ya msingi tulikua na utamaduni wa kushindana eti nani ana mwandiko mzuri[emoji1]. Yaani, zoezi hilo lilionekana la maana kuliko kusoma. Kuna...
View ArticleKwanini ukisomea saikolojia chuo unang'oa mademu wakali sana?
Wakuu, Mimi nina jamaa yangu tulikuwa tunakaa naye Kimara mwaka 2006 kabla sijahama alienda zake Canada mwaka 2011 kusomea saikolojia akakaa huko miaka 5, na tangu arudi sasa ni miezi miwili. Mpaka...
View ArticleJe, UnaiaminI hii misemo?
Misemo ya Nguli wa filamu za Kinaijeria Pete Edochie. 1. Fursa ndogo anayopewa nyani ya kivishwa nguo, haimhakikishii kujiunga katika meza ya chakula kula pamoja. 2. Kuishi na mwanaume asiye na maarifa...
View ArticleJob Opportunity
Are you a Tanzanian aged between 25yrs-44yrs? Are you a holder of a Bachelor's degree in any field related to Finance, Statistics, Economics, Commerce, Humanities, Social Sciences, Administration,...
View ArticleKwanini Vibanio vya nguo vinapotea hata ukivihifadhi kwa umakini mkubwa?
Wakuu, Baada ya kugundua kuwa mambo mengi yameshafanyiwa utafiti niliamua kufanya utafiti kuhusiana na vibanio vya nguo. Ni hivi ukinunua vibanio 100 leo na kuanza kuvitumia baada ya miezi 6 ukihesabu...
View ArticleUngekuwa wewe ungemuelewaje?
Habari, Bila kupoteza muda niende kwenye point, Katika pirikapirika zangu za kazi nikakutana na jamaa ambaye imenibidi tuwepamoja kwenye kazi. Mara tukawa karibu zaidi yaan marafiki, hivo tukawa na...
View ArticleFunniest movie quotes ever!
- "I couldn't believe it was her. It was like a dream. But there she was, just as I remembered her. That delicately beautiful face. And a body that could melt a cheese sandwich from across the room....
View ArticleUshauri kwa makapuku wenzangu
Kwanza hongereni kwa kujiweka kwenye ramani ya JamiiForums Hata likes zinazoongoza kwa sasa ni za makapuku Bahati mbaya post bado mko nyuma sana....kwahiyo basi kuweza kubaki kwenye track na kupanua...
View ArticleMUDA WA KUBEBIKA,DEKA_NIKUDEKEZE
Tigo hunifurahisha tangazo lao,huku zikiendana na mtaramu wetu Joti,ila kitu ambacho cjakielewa pale wanapopigiana simu then Jot kuulizwa nani (NAMBA MOJA WAKE ) Mwenye kujua.
View Article