Kibaka Achapwa baada Ya kukamatwa anaiba kuku!
Anagalia Video ya kibaka akichapwa baada ya kuiba kuku. Bofya hapa Kibaka Achapwa baada Ya kukamatwa anaiba kuku! - Vyro Newz
View ArticleWa Karagwe na Kyerwa tukutane hapa
Tukutane hapa tubadilishane mawazo na kuleteana maendeleo. Karagwe na Kyerwa mkoa Kagera
View ArticleAiseee! Nimeamini wanawake wanapenda pesa. Cheki hii kitu kuthibitisha ...
Nimeamini hawa viumbe wanapenda pesa. Kuna mwanamke mmoja anafanya kazi benki hapa dar es salaam kama teller tunatoka mtaa mmoja, ni mzuri sana. Ana mkia na kiuno cha nyigu, sio bonge na mfupi kama 5'2...
View ArticleTuliopoteana tukutane hapa
Amani iwe kwenu. Si vibaya tukakutana na ndg na marafiki tuliopoteana nao. Binafsi kuna watu nawasaka sana. Yaani nimewagoogle kila kona bila mafanikio, mwingine nikamkuta Facebook lakini akaunti yake...
View ArticleCrazy Things You Did In Sec School
~ Got chased by the headteacher and deputy head, a whole crowd of us in school uniform where in one area our school had been forbidden to enter by the school otherwise could result in expulsion, only 2...
View ArticleWanaume wa ILALA
Wakuu kuna hili suala la wanaume wa dar naona limeshika kasi sana, kwanza ifahamike kuwa dar ni kubwa na si vizuri kutuhukumu wanaume wote wa jiji hili maarufu Afrika mashariki na kati. Lengo la mada...
View ArticleMambo ya Dom hayo!!
1.Chang'ombe 2.Chamwino 3.Chadulu 4.Chinangali 5.Chinyoya 6... 7... Ongezea kama umewahi kuishi Dom
View ArticleHappy birthday to me
Najua am not growing any younger, and you are not too, am praying, plz God help me with my health, my family and friends, orphans and widows, bless others like how you blessed me, bless me like how you...
View ArticleTujitambue vijana
[emoji117] Kijana wa miaka 17 nchini China ana shahada ya Udaktari [emoji117] Kijana wa maika 17 nchini Japan ana shahada ya makenika [emoji117] Kijana wa miaka 17 nchini Marekani ana utajiri kupitia...
View Articleh
Hiv hii mada ya mwanaume hajui kutongoza ni kweli au inabid huku huku ndan tuanze kufundishan kutongoza ukweli nakina dd mlioko huku mtu.vumilie
View ArticleNatafuta Wanawake wa kuchati nao
Habari zenu wana JF? Natafuta marafiki wakuchati nao, waliokomaa kiakili. Kama wewe ni KE ruksa kuja PM
View ArticleNimegundua hizi tofauti kwa warembo flat screens na wenye booties
Habarini Wadau, Nimetafiti Individually then nikagundua kuwa kwa mazingira ya maisha yetu kimjinimjini,kuna tofauti zifuatazo :- 1) Flat screen ladies, wao ndio wanaendesha migari ya maana na heshima...
View ArticleFunniest movie quotes ever!
- "I couldn't believe it was her. It was like a dream. But there she was, just as I remembered her. That delicately beautiful face. And a body that could melt a cheese sandwich from across the room....
View ArticleHatimaye naenda nchi za nje, nimechoka kurushwa roho
Of koz asilimia kubwa ya watanzania hawajawahi kutoka nje ya nchi hii....Tukiachilia mbali wale wa mikoani ambao hata kukanyaga mjini (dar) hawajawahi kwa hasira wakaamua kutusema wanaume wa dar.......
View ArticleBaadhi ya wanaume hawajui kutongozaa
Yaan mtu anakufata eti siku hiyo hiyo anataka muoane!!!!!!chefuuuuuuuuu Ukimwona mwanaume wa hivyo ujue hata mapenzi hajuiiiiiiii Yaan baadhi ya wanaume acheni ulimbukeniiii
View ArticleWale wa Tanga, pita humu uweke sign yako
Habari wakuu, Tangu nirudi Tanzania toka nchi za nje nimekuwa na mzuka sana wa kukutana na washkaji wa kitamboo niweze kuwapa maujuzi ya nje ya Tanzania... Sasa wale wooote wa tanga, maeneo ya Bombo,...
View ArticleHuyu msichana anaitwa nani? Mwenye contacts zake anipatie
Umofia wana JF, Kuna Demu yupo kwenye tangazo la na Like asubuhi na Airtel,Yule msichana anafanya mazoezi katinga pedo ya njano na blauzi nyekundu,aisee kajaaliwa neema za alah na mahaga ya...
View ArticleWIMBO WA NZIGE-cHUMBA CHA MTIHANI
habari zenu wana JamiiForums kama kuna mtu alishawahi kuusikiliza au kuuona wimbo wa nzige unoitwa chumba cha mtihani namuomba akoment maana mimi sisikii vizuri
View Article