Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live

BBC wamechemka aise

kwani huyo wema ndona nani wakuteka media sasa kwani yeye akipata mchumba wengine ina wahusu nini hayo si maisha yake binafsi yaani mpaka bbc nao wanakaa kuitengenezea habari eti wema kapata mchumba...

View Article


Huyu baba nampenda lakini hanielewi

Sijui nimfanyie nini jamani. Handsome la nguvu side burns zinavutia maana ni safi saa zote. Akivaa nguo zinamfit vzr sana. Tukitoka kila mtu jicho. Sipendi akasirike jmn nitaumia sana. Lakini kuna...

View Article


Picha na Video: Eti huyu mdada wa kihindi naye ashindana na akina Masogange...

Ebwana wanaJF mzuka! Acheni Sagodi aitwe Sagodi! Mola tupe uvumilivu tu waja wako. Dah hii ni hatareee!! Cc Benny mgt software Borat69 Ng'wanapagitokyo40 Zamaulid UncleBen(Che) mrangi Smart911...

View Article

KWANN BAA NYINGI HUEZWEKWA KWA MAKUTI

hii kitu nashangaaa kuona baaa kuezekwa kwa makuti

View Article

Nipeni ustar wa JF !!!

Habari wanajamvi.... Sio siri kuna member hapa JF washakuwa mastaa yaani wanapendwa au kufuatiliwa thread au comment zao na watu wengi sana hapa jukwaani lakini je wananufaika vipi na ustar wao ?...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Preta njoo nikutongoze, wengine tulieni mjifunze

Preta njoo nikutongoze, wengine tulieni mjifunze Preta njoo nikutongoze, wengine tulieni mjifunze Kazi ipo Mwenyewe Mali nimejikalia kimyaaaaa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Are you a paradox solver?Hop on board

Hello wana CC! You will be awarded 20,000,000 trophies,If you can solve profoundly the paradox below Lets begin... 1.THE STATEMENT BELOW IS TRUE 2.THE STATEMENT ABOVE IS FALSE Which statement is...

View Article

Nimekutana na Lara1 leo

Kwanza niseme kwamba nimevamia kambi ambayo mimi si mpenzi kuandika hoja labda kusoma tu. Lakini leo mchana nimesafari na binti mmoja katika gari moja la binafsi, baada ya kuwapatia lifti akiwa na kaka...

View Article


MAGUFULI: All ministers & public officials must use PROBOX or VITZ

Dar-es-salaam TANZANIA. Ya kweli haya au nao ni uzushi mwingine tu!?? President Magufuli has banned all senior public officials from using fuel guzzling 4 x 4 cars and other luxury cars, ordering that...

View Article


Great thinker tatua mzozo hapo

View attachment 319564

View Article

Biashara njema: Tanzania yarusha rocket katika Orbit

Salaam... Wakuu Hii inaweza Kuwa ni bishara njema kwa wa tz, usiku wa Jana kudamkia Leo nimeota. Serikali ya Tanzania imerusha rocket katika orbit kwa kusaidiwa na vijana wawili kutoka University Of...

View Article

Preta njoo nikutongoze, wengine tulieni mjifunze

Habari wakuu, Mimi ni mgeni humu naomba knena. . Sorry nimesahau U hapo kwenye knena. . . Ilitakiwa kuwa kunena, yaani kuongea.... Naomba nitumie fursa hii adhwiim na jukwaa lenu kumtongoza binti...

View Article

Tujuane wana JF wa Mwanza

Habari za muda wana jamvi, leo nataka tufahamiane wana JF tunaotokea hapa Mwanza, unaeza uka comment mahali ulipo, lengo ni kufahamiana jamani, karibuniiii

View Article


Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi moja, siku moja na wewe

Huu uzi makhususi kwa wana Jamii forums members’ kujuana na mwenzake vizuri. Unacho takiwa kufanya ni kuandika siku yako ya kuzaliwa pamoja na mwezi. Mimi, August 15.

View Article

Chimbuko la Panya road & Vigodoro !!

Kama hujawahi kutembelea sehemu za uswahilini hasa mitaa ya Mabibo,Manzese na Kigogo jijini Dsm basi umepitwa na mambo mengi ya kufurahisha maishani! Ni sehemu zenye visa,vituko na mikasa ya kila aina....

View Article


Mabaamedi wa Sinza na Kinondoni

Ndio bomba zaidi wengi wana elimu ni wasafi wanang'ara wanatumia makeups vipodozi na marashi ya bei mbaya wanajua kusuka sangita za mmasai na Brazilian wanamiliki smart phones (japo nyingi ni mchina...

View Article

Maasai Dada upo?

Jamani namtafuta huyu mdada, siku mingi NO SEE, chemistry ndo ilikuwa imeanza kunoga tu kati yetu ila me nikapotea humu kidogo, so napenda kumjulisha nimerudiiiiiiiiiii

View Article


Kituko cha utotoni ambacho sitakisahau

Nikiwa natoka shamba huku nimebeba mihogo kichwani na uchovu na njaa, niliamua kufumba macho ili nisione ninakokwenda na nistukie nimefika au kukaribia kitu fulani kikaniambaia nifumbue macho...

View Article

Wacha kuangalia jukwaa la wakubwa ukiwa ofisini.

Juzi ndiyo nilijua kumbe JF kuna jukwa la kikubwa baada ya kumkuta Assistant wangu akiwa amekuza picha ya kikubwa kwenye screen yake. Ilikuwa majira ya saa tano asubuhi tupo ofisini sasa kuna file...

View Article

Angalia hapa kama unamtoto chekechea

Chekechea ni shule ya vidudu ya watoto wadogo sana wengine kuanzia mwaka mmoja ambao wanahitaji huduma na mapenzi ya karibu sawa na mama zao. Lakini utakuta shule zingine za aina hii wanaajiri watoto...

View Article
Browsing all 12068 articles
Browse latest View live