Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12068

Ushuhuda: Kila mtu aeleze Bangi Ilivyomsaidia

$
0
0
Mimi wakuu nimekua nikitumia Bangi taangu niko O level na Nilipata Division one Mitihani yangu ya Sekondari na Kufanikiwa kupata GPA ya 4.1 katika elimu yangu ya Chuo kikuu mimi Pia nimesoma sekondari moja (Tabora Boys kwa miaka 6)


Pia Bangi Ilinisaidia pale nilipougua Sikio na Kuwekewa kwenye sikio na likapona.


Naomba watu ambao Wamewahi kuvuta watoe shuhuda zao hapa ila Siwashauri watu wavute Unga Bangi ni Salama zaidi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12068

Trending Articles