Leo nasheherekea siku yangu ya kuzaliwa na kutimiza miaka kadhaa..
Namshukuru Mungu kwa mengi... pongezi sana kwa mwingine aliyezaliwa siku kama ya leo na Taurus wenzangu wote..
Nifah karibu ule udambwi udambwi kwa niaba ya wana JF...
Namshukuru Mungu kwa mengi... pongezi sana kwa mwingine aliyezaliwa siku kama ya leo na Taurus wenzangu wote..
Nifah karibu ule udambwi udambwi kwa niaba ya wana JF...
![[IMG]](http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/8c55e73aed74f08d487f507e3da681f8.jpg)