Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12068

Wataalam wanapogeuka Miungu Watu

$
0
0
Kuna kitu nakiona kinaendelea ambacho kisipoangaliwa kinaweza kuleta madhara makubwa. ...

Kumekuwa na kikundi cha watu wanaoitwa maspecialist wa magonjwa mbalimbali . ..hiki kikundi cha watu mara nyingi ni watumishi wa umma ...lakini jambo la ajabu wanakuwa na vijiwe vyao mtaani ambavyo wagonjwa wanaelekezwa huko.

Kwa kuwa taaluma zetu ni kwa manufaa ya umma ni vyema ikawa inapatikana kwenye hospitali za umma tu na sio kuwa na double standard..

Napendekeza Kama mtaalam ni mwajiriwa wa...

Wataalam wanapogeuka Miungu Watu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12068

Trending Articles