Habari
Je kuna ukweli wowote kua Mafuta ya taa yanapunguza mhemko? Nakumbuka shuleni kuna wakati chakula kilikua kinawekwa Mafuta ya taa mara kwa mara ,wanafunzi wanadai wanatucontrol.
Je kuna ukweli wowote kua Mafuta ya taa yanapunguza mhemko? Nakumbuka shuleni kuna wakati chakula kilikua kinawekwa Mafuta ya taa mara kwa mara ,wanafunzi wanadai wanatucontrol.