Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12068

Hivi ni kwanini siku hizi watu hawapigani mitaani kama miaka ya 1980s?

$
0
0
Nakumbuka miaka ya 80-90 ilikuwa jambo la kawaida kukuta jamaa wanapigana mitaani halafu watu wanashangilia sana.

Yaani ukiwa mtemi au gangwe basi unaonekana wa maana sana. Hata baadhi ya disco ilikuwa lazima ziishe kwa ngumi.

Kwa wale wa Iringa mtawakumbuka kina cool 9, shedadi, Ray nk

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12068

Trending Articles