Wadau! kiukweli nilikuwa nasikia sifa za Dubai nikawa natamani kwenda kwa miaka kadhaa nimekuwa nikijpanga /kuweka pesa ya nauli mwezi Februari nikaona ofa ya FLYDUBAI 50% OFF nikakata tiketi ya kwenda huko kutalii daah nilipofika kiukweli tofauti na sifa zooote nilizokuwa nahadithiwa!
Nimekuta pa kawaida mno na vitu vingi mule ni (Artificial) tu. Hata "dada zetu" wabovu sana (sura & shepu ni msiba, wengi ni toka Nigeria & Kenya na bei ghali mno, 100 USD/one hour.
Kwa mtazamo wangu bora...
DUBAI mbona pa kawaida mno? Shobo ya nini?
Nimekuta pa kawaida mno na vitu vingi mule ni (Artificial) tu. Hata "dada zetu" wabovu sana (sura & shepu ni msiba, wengi ni toka Nigeria & Kenya na bei ghali mno, 100 USD/one hour.
Kwa mtazamo wangu bora...
DUBAI mbona pa kawaida mno? Shobo ya nini?