Quantcast
Channel: JF Chit-Chat
Viewing all articles
Browse latest Browse all 12068

Kumbe na wao pia wanafanyaga eeenh?

$
0
0
Bana eeeh,

Mi nna katabia kakuwaangalia sana wanawake sehemu za nyuma nikipishana nao...Haswa wale wanaovaa vibaya... Si peke yangu ni wanaume almost wote...Its a natural thing!!

Nakumbuka when I was a teenager kuna siku natembea tembea mjini na mzee wangu tukawa tumekaa sehemu...Mara akapita mtoto kavaa kinguo laini cha kubana af nyuma si pa kitoto...Kwa macho yangu nikamuona mzee wangu akikodolea...Mzee noma sana...

Huwa nna trick nyingi nazitumia nisijulikane kuwa naangalia...

Kumbe na wao pia wanafanyaga eeenh?

Viewing all articles
Browse latest Browse all 12068

Trending Articles